MSIGWA AZUILIWA KUFANYA MKUTANO WA KIBUNGE JIMBONI KWAKE.

MSIGWA AZUILIWA KUFANYA MKUTANO WA KIBUNGE
Jeshi la Polisi limemzuia Mh. Peter Msigwa kufanya mkutano wa kibunge kata ya kitwiru kwa kile kinacholiitwa "taarifa za kiintelijensia" na "utokeaji wa vurugu".
Kazi ya jeshi la polisi ni kuthibiti, kuzuia na kutuliza vurugu zozote. Huu ni mwendelezo wa jeshi la polisi Tanzania kutozingatia ueledi.
Tunaposema kuwa kuna madiwani walitumiwa na mfumo dola wa chama cha Mapinduzi na mawakala wao kutaka kujaribu kuhafifisha nguvu za upinzani Iringa mjini sasa imedhihirika. Licha ya kushindwa.
Jeshi la Polisi inajitekenya lenyewe sababu at the end mikutano itafanyika tu.
Ni suala la muda tu.


Maoni